Natafuta mchumba mwenye akili

Natafuta mchumba mwenye akili

Wifi namuangalia tu hapa akikusogelea tu nnaye. Sijapiga mtu vichwa siku nyingi! Kongosho, hivi lile limbwata la zenj bado hujaanza kulitumia eeh? Shaurilo!

Halafu wifi, sijui nikwambie?
Yaani mwenzio siku hizi nna shida, yaani huyu kaka yako siku hizi sijui nani anamdamganya; can u imagine mpaka sasa hivi hajarudi home!

Nioneshe basi nami hiyo Limbwata ya Zenj, nimtulize.
 
Last edited by a moderator:
JF members,
najua wengi wetu tupo single humu kama vipi tuwasiliane jamani..

Let nature take the direction.chemistry attraction are important . Good family ,blood type,age younger 4 years ,secure and high self esteem and super independent.who pays for your dates ,make her pay half ,see where she sleeps,
 
Na wewe upo single kumbe!

Relax don't be desperate God have somebody for you relax enjoy life ,desperation will make you marry a wrong woman and get destroyed .my husband was the first men i fell in love .niliowadate Kabla ya hapo wastage of time and energy .
 
Sasa wifi usianze kumpa the boss silaha za maangamizi ya halaiki. Ngoja tutamtengeneza hadi ajuute! Ila mbona hata shem wako nae hajarudi jamani, kaenda kwa maxence kuna besdei. Wewe rerax na coca ya chupa ya plastic, achana nae. Kwani kabeba tv na kitanda? Mkubwa mwenzio ujue huyo.
Halafu wifi, sijui nikwambie?
Yaani mwenzio siku hizi nna shida, yaani huyu kaka yako siku hizi sijui nani anamdamganya; can u imagine mpaka sasa hivi hajarudi home!

Nioneshe basi nami hiyo Limbwata ya Zenj, nimtulize.
 
wewe ni jinsia gani? zomba atakufaa anatafuta mke wa 4

Jamani hamuoni hata iyo avator yake hapo jinsi alivyo mrembo!! nyie mmeng'ang'ania tuu jinsia, mbona mnaanza kufeli! kigezo chenyewe ni kimoja tu lakini kimekusanya mambo mengi!!!!
 
nitakufuata PM unipe mbinu mbadala.
Labda nimtafute mganga wa kulamba nanii maana kazi ipo.

Wifi namuangalia tu hapa akikusogelea tu nnaye. Sijapiga mtu vichwa siku nyingi! Kongosho, hivi lile limbwata la zenj bado hujaanza kulitumia eeh? Shaurilo!
 
Last edited by a moderator:
What makes you dhani that? Ndo maana nineuliza jinsia yake ni multipurpose manake hajasema kama anataka mwanaume ama mwanamke!

oi haya we msubiri ila naona wadau wengi humu washataja jinsia yake.... kwani na wewe hauna tatizo na Usalama Jabir?
 
Jitu halisemi kama ni dume au jike au sH**gA, halisemi ni lizee au likijana. Sijui la wapi hili??????

Halafu wew unapenda wachumba wewe, huyo dume tuu semaa anataka kutupima uwezo tushatuma mpaka application letter , tunaambiwa the no. you are calling is sleeping
 
Wewe ni HE au SHE??

Itisha pepa basi ndio ukisahihisha utajua mwenye akili. Tena pendelea kuweka hesabu, hasa za Log maana hapo ndipo utawachuja has a wasio na akili.
 
Hehehe, hiyo ya kulambalamba inabidi kutulia kama unanyolewa, ulivyo mcharu wewe sijui kama hutang'atwa!
nitakufuata PM unipe mbinu mbadala.
Labda nimtafute mganga wa kulamba nanii maana kazi ipo.
 
Back
Top Bottom