Natafuta mchumba mwenye akili

Natafuta mchumba mwenye akili

Weeeh, kuna maswali hayaulizwagi usiku atii. Unataka Paw anipige ban, hebu nipishe mie!
oi haya we msubiri ila naona wadau wengi humu washataja jinsia yake.... kwani na wewe hauna tatizo na Usalama Jabir?
 
itabidi tu, siku ya tatu hajarudi home.
Nimechoka kuvumilia, ngoja nifuate ushauri wa Natalia, hakuna kuvumilia

ni kuchop money tu.

Hehehe, hiyo ya kulambalamba inabidi kutulia kama unanyolewa, ulivyo mcharu wewe sijui kama hutang'atwa!
 
nitakufuata PM unipe mbinu mbadala.
Labda nimtafute mganga wa kulamba nanii maana kazi ipo.
Mi naweza hiyo kazi we njoo tu nkumalizie kazi yako Kongosho, sharti ni hilo moja tu lazima nitumie ulimi kukuwekea" ka muti"

Duh watu wamejilipua humu.......
 
Last edited by a moderator:
hehehe, ukipata pin code ya hiyo debit card unistue nikusindikize. nimeona two big shops zina sale ya kufa mtu, najua utanitoa walau na tujeans tuwili na CL moja. Watatutambua!
Dedication yake: Chop my mouney coz i dont care!:gossip:
itabidi tu, siku ya tatu hajarudi home.
Nimechoka kuvumilia, ngoja nifuate ushauri wa Natalia, hakuna kuvumilia

ni kuchop money tu.
 
Back
Top Bottom