Yani huyo hana mtoto na kanizidi elimu na umri nina 25natembea na mke wa mtu ambaye ni mwenyeji wa hukohuko ana watoto wawili.Alishawahi kulazwa hosptali kwaajili yang jinsi anavonipenda lakini simchuni kila nachomwambia ananiskiliza ili kutunza ndoa yake.mimi mshahara wang70000 kwa mwezi sijisifu.Umegundua nini hapo Depal2018 hadi leo hujapata? JF yote!! Hata huko kitaani kwako?
Hivi kwani wanaume ndiyo wamekuwa adimu hivyo au shosti uko too selective? Being too selective itakucost, utakuja kuwapata na wale fisi wenye ngozi za kondoo...shauri yako
Wewe umeshapata ?2018 hadi leo hujapata? JF yote!! Hata huko kitaani kwako?
Hivi kwani wanaume ndiyo wamekuwa adimu hivyo au shosti uko too selective? Being too selective itakucost, utakuja kuwapata na wale fisi wenye ngozi za kondoo...shauri yako
HahaMbona ule uzi mwingine umeandika una umri wa miaka 28 ila huu 26
NinayeWewe umeshapata ?
Hebu nifafanulieYani huyo hana mtoto na kanizidi elimu na umri nina 25natembea na mke wa mtu ambaye ni mwenyeji wa hukohuko ana watoto wawili.Alishawahi kulazwa hosptali kwaajili yang jinsi anavonipenda lakini simchuni kila nachomwambia ananiskiliza ili kutunza ndoa yake.mimi mshahara wang70000 kwa mwezi sijisifu.Umegundua nini hapo Depal