Natafuta mchumba, nimechoka upweke

Natafuta mchumba, nimechoka upweke

Habari zanu wapendwa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni binti mwenye 28 yrs, elimu yangu ni Diploma, ni Mjasiliamali, naishi mkoa wa Mtwara, mkristo, Situmii kilevi, sina mtoto. Uzito wangu ni kg60

Vigezo vya ninayemuhitaji:

> Awe mkristo

> Elimu yake akinizidi mimi hapo itakuwa safi.

> Awe ameajiriwa au kujiajiri.

> Kama anakunywa basi sio mlevi.

> Asivute sigara

> Awe na mapenzi ya dhati .

> Kabila lolote

Mengine tutaeleweshana inbox .

Karibu.
Nakuombea... Na kama uko tayari njoo pm nikushauri kitu

Jr[emoji769]
 
Sigara imenikosesha mke jamani lol[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Habari zanu wapendwa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni binti mwenye 28 yrs, elimu yangu ni Diploma, ni Mjasiliamali, naishi mkoa wa Mtwara, mkristo, Situmii kilevi, sina mtoto. Uzito wangu ni kg60

Vigezo vya ninayemuhitaji:

> Awe mkristo

> Elimu yake akinizidi mimi hapo itakuwa safi.

> Awe ameajiriwa au kujiajiri.

> Kama anakunywa basi sio mlevi.

> Asivute sigara

> Awe na mapenzi ya dhati .

> Kabila lolote

Mengine tutaeleweshana inbox .

Karibu.

Chura ipo?
 
Back
Top Bottom