Acha uchoyo mkuu. Wewe umepewa bure nawe toa bureMi nipo tayari ila hakuna kuvuana nguo mpaka ndoa
Unataka muuzia mbuzi kwenye gunia wewe.!Mi nipo tayari ila hakuna kuvuana nguo mpaka ndoa
Siyo uchoyo mkuu tatizo mkipewa hamtaki kuoa tenaAcha uchoyo mkuu. Wewe umepewa bure nawe toa bure
Mi nipo tayari ila hakuna kuvuana nguo mpaka ndoa
Sivyo mkuu, kama unapata maziwa huwezi fuga ng'ombeUnataka muuzia mbuzi kwenye gunia wewe.!
Microphone check one, two hakunaMi nipo tayari ila hakuna kuvuana nguo mpaka ndoa
Mkuu unahic maziwa kakosa hata yakununua,, just kaamua kufuga ng'ombe wake apate zaidi ya maziwa.!Sivyo mkuu, kama unapata maziwa huwezi fuga ng'ombe
mpaka mtu anaamua kutooa kuna vitabia anakuwa ameviona ambavyo anahisi hatavivumilia. mfano vizinga, ukicheche, nk. otherwise sidhan kama mtu atakubwaga hivi hivi. labda ulazimishe jamaa awe hajakupenda.Siyo uchoyo mkuu tatizo mkipewa hamtaki kuoa tena
hahahahaha.Acha uchoyo mkuu. Wewe umepewa bure nawe toa bure
Suali kidogo elimu haina stepsNahitaji mwenza ambaye atakuwa tayari kufunga ndoa soon.
Mwanamke ninayependa awe mke wangu awe na sifa zifuatazo.
Mwaminifu
Mkweli
Miaka 26-34
Mwenye shughuli ya kipato halali
Mkristo kama siyo awe tayari kubadili dini
Mwenye mapenzi ya dhati
Angalau kidato cha NNE.
Sifa zangu
Miaka 34
Mkweli
Mwaminifu
Muajiriwa
Elimu ya juu
Mkristo
Mwenye nia ya dhati aje pm.