Natafuta mchumba tufunge ndoa

Natafuta mchumba tufunge ndoa

Nahitaji mwenza ambaye atakuwa tayari kufunga ndoa soon.

Mwanamke ninayependa awe mke wangu awe na sifa zifuatazo.

Mwaminifu
Mkweli
Miaka 26-34
Mwenye shughuli ya kipato halali
Mkristo kama siyo awe tayari kubadili dini
Mwenye mapenzi ya dhati
Angalau kidato cha NNE.

Sifa zangu
Miaka 34
Mkweli
Mwaminifu
Muajiriwa
Elimu ya juu
Mkristo

Mwenye nia ya dhati aje pm.
njoo in box
 
Back
Top Bottom