Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hihihihihihii mkuu acha utani buana aah[emoji23]Hutaki kuibiwa au?
Kwa nini ufikirie utani huenda yupo serious anasababu zake au na yeya ana mapungufu hayo.hatujuaniHihihihihihii mkuu acha utani buana aah[emoji23]
Hana simu kwasasa ameuza,we kama upo serious nipm unambie upo wapi nikukutanishe naeNi pm namba yake kama mkuu
Hana simu kwasasa ameuza,we kama upo serious nipm unambie upo wapi nikukutanishe nae
Akizingua nipe mm dada yako uwe shemeji yangu.Mkuu nipm nikuunganishe na Dada yangu..ila usiwe mzinguaji