Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

Vp baba miaka 30 au kifungo cha maisha ww huhitaji?[emoji16][emoji16]
 
Mwambaa huyooo hapo sasa titiii titiii

Mwamba Kaamua kujilipua Kabsaa

Tangazo limetoka Mwisho wa Mwezi kbsa yaani Wanawake mshindwe wenyewe sasa
 
Mwalimu huwezi kupata mchumba hio ni kazi ya kiboya sana, toka huko TAMISEMI njoo kwenye Taasisi au Mashirika ya Serikali warembo utawakimbia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom