Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
Nimekaa chini nikafiria, wanawake wengi sana kwenye hii Tanzania,nimewapata wa aina tofauti tofauti,ckuwa na mipango nao endelevu zaidi ya raha za muda tu.
Ila napenda nipate kabinti kazuri cha kimasai ambacho katakuwa kangu ka maisha.
Wamasai popote mlipo,au kama unarafiki wa kimasai plz mjulishe nipate ubavu wangu wa pili.
Natanguliza shukrani.
Ila napenda nipate kabinti kazuri cha kimasai ambacho katakuwa kangu ka maisha.
Wamasai popote mlipo,au kama unarafiki wa kimasai plz mjulishe nipate ubavu wangu wa pili.
Natanguliza shukrani.