Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Sasa Kwa taarifa yako uzi nitauleta na nitakutag 🤣🤣muoneHakuna dhambi ila ndio ndoa utaisikia kwa hewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kwa taarifa yako uzi nitauleta na nitakutag 🤣🤣muoneHakuna dhambi ila ndio ndoa utaisikia kwa hewa
HhhhhhmmmmmKuandika hujui unataka mume
SawaLondon
TayariTuma picha dm
WowMtaani kwetu ukioga maji ndoo ya lita 20 unaweza hata kurogwa, hali ni tete.
Ni teteMtaani kwetu ukioga maji ndoo ya lita 20 unaweza hata kurogwa, hali ni tete.
Yaaani miaka miaka miaka miaka miakaKwa miaka 41 yote uliyonayo bado unakuwa picky . Na masharti yote hayo. Si rahisi
Binaadamu hawezi kupata vyote anavyovitamani.
I like the pic above 👆🏽Kwa miaka 41 yote uliyonayo bado unakuwa picky . Na masharti yote hayo. Si rahisi
Binaadamu hawezi kupata vyote anavyovitamani.
Halafu nyote mnasoma old profile, nimeengeza zaidi 😤🤣Kwa miaka 41 yote uliyonayo bado unakuwa picky . Na masharti yote hayo. Si rahisi
Binaadamu hawezi kupata vyote anavyovitamani.
Yes ,Yaaani miaka miaka miaka miaka miaka
Mkuu mbona unampangia, ivo ndio vigezo vyake. Kwa ufupi ilo ni tangazo kama unasifa tuma maombi kama huna kausha, hajaja humu kuomba ushauriYes ,
Wasifu wako pale mwanzo umeiweka wazi. Sasa mambo ya ndoa hayataki masharti hayo. Wewe tafuta mchumba (mtu) yeyote atakayekuheshimu na kukupenda kwa jinsi ulivyo.
Hata dini usiitangulize sana . Wapo wengine nje ya imani yako . Wana utu , upendo & heshima kuliko wa imani yako asiyekuheshimu.
Uzi wako wameiharibu ladha. Wameiunganisha na kupoteza maana .Halafu nyote mnasoma old profile, nimeengeza zaidi [emoji36][emoji1787]
Mwanaume gani akae 41 yrs bila mchepuko wala mtoto wa kubambika. Utapata wapi uzoefu ?!.Mkuu mbona unampangia, ivo ndio vigezo vyake. Kwa ufupi ilo ni tangazo kama unasifa tuma maombi kama huna kausha, hajaja humu kuomba ushauri
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Anataka mwanaume 41 years virgin [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume gani akae 41 yrs bila mchepuko wala mtoto wa kubambika. Utapata wapi uzoefu ?!.
Mbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewaMwanaume gani akae 41 yrs bila mchepuko wala mtoto wa kubambika. Utapata wapi uzoefu ?!.
Mie nimekaa paleSasa Kwa taarifa yako uzi nitauleta na nitakutag 🤣🤣muone
Ukunywe na soda kabisaMie nimekaa pale
Nitakununulia na wewe mirinda nyeusi baridi ili upoze machungu baada ya watu kucheza na kipochi manyoyaUkunywe na soda kabisa