Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
- #441
Niambie wewe mtowa ushauri, unaonaje.Unaonaje ukapata Mwanaume ambaye hana uzoefu?
Na Ile kazi?
Na wewe ukapata mwanamke kicheche??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie wewe mtowa ushauri, unaonaje.Unaonaje ukapata Mwanaume ambaye hana uzoefu?
Na Ile kazi?
Anafaa Kwa kujiiburudisha,,ila Sio kuoaNiambie wewe mtowa ushauri, unaonaje.
Na wewe ukapata mwanamke kicheche??
Wacha kutapatapa tulia
Kweli ulisema, lakini nyinyi sawa kuwa majogoo kwa kuwowa??Anafaa Kwa kujiiburudisha,,ila Sio kuoa
Kamseleleko!! Kama nyimbo ya Baba Levo na MbossoMiaka 41 kumkuta mwanaume hana Mtoto futa hicho kigezo hutapata, labda atakudanganya tu Ili apate mseleleleko
Daudi nimekuelewa, nakutania tu.Miaka 41 kumkuta mwanaume hana Mtoto futa hicho kigezo hutapata, labda atakudanganya tu Ili apate mseleleleko
Hama wewe basi kama rahisi tu, mimi nitakupa kazi kwenye kampuni yetu.Achana na London bibie, njoo hapa Boston, US tufanye stara Inshaallah. Kama utaona yafaa kuhama mji nakutaftia kazi nzuri kama au kuliko hiyo hapahapa Boston. Sifa nyengine zooote nnazo na bahati nzuri nami natamani kumpata wa nyumbani. NB: kabla ya hapo nilikuwa na mmorocco ambaye kwa bahati mbaya alipata ajali ya gari, na hivyo ametangulia. In short, umempata wa kumaliza naye maisha bibie njoo pm tuyajenge😀-Inshaallah.
Pole kwa Morrocco wako kwa ajali ya gari. 🙏🙏Achana na London bibie, njoo hapa Boston, US tufanye stara Inshaallah. Kama utaona yafaa kuhama mji nakutaftia kazi nzuri kama au kuliko hiyo hapahapa Boston. Sifa nyengine zooote nnazo na bahati nzuri nami natamani kumpata wa nyumbani. NB: kabla ya hapo nilikuwa na mmorocco ambaye kwa bahati mbaya alipata ajali ya gari, na hivyo ametangulia. In short, umempata wa kumaliza naye maisha bibie njoo pm tuyajenge😀-Inshaallah.
Tulia atakuja na thread ingine kabla mwaka hujaisha41 halafu una vigezo...ungekuwa Dar ningekushauri uende kwa Tapeli Mwamposa ama majambazi wengine kama Kuhani Mussa na wenzake. Toa vigezo kwa umri huo.
Wa kutulia ni weweTulia atakuja na thread ingine kabla mwaka hujaisha
Naishi London NI Telecommunications Engineer karibuMimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni sana.
Kwa miaka 41 yote uliyonayo bado unakuwa picky . Na masharti yote hayo. Si rahisiMimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni sana.
Mtaani kwetu ukioga maji ndoo ya lita 20 unaweza hata kurogwa, hali ni tete.Natumai umekwenda kuonga baada kutokwa na kijasho. Natumai maji mtaa wako yanapatikana.
Inaumuka, inaumuka kweli kweli
Utaishia kuliwa kimasikhara🤣🤣🤣🤣Yeye kasema anaefanya kazi…so hata kubeba mabox ni kazi TI…fanya fanya mambo ndugu yangu tule ubwabwa aise..
Hivi ni kweli huku ndani mtu unaweza kupata mume au mke wa kuoa?
Kama ni kweli ngoja nikamilishe mipango yangu nije na bango humu ndani la kutafuta mume haki tena
LondonKwanza unakaa wapi plz ??
Kwani iko dhambi tukilana kimasihara sukari ya waremboUtaishia kuliwa kimasikhara🤣🤣🤣🤣
Hakuna dhambi ila ndio ndoa utaisikia kwa hewaKwani iko dhambi tukilana kimasihara sukari ya warembo
Kuandika hujui unataka mumeNatumai umekwenda kuonga baada kutokwa na kijasho. Natumai maji mtaa wako yanapatikana.