Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Achana na London bibie, njoo hapa Boston, US tufanye stara Inshaallah. Kama utaona yafaa kuhama mji nakutaftia kazi nzuri kama au kuliko hiyo hapahapa Boston. Sifa nyengine zooote nnazo na bahati nzuri nami natamani kumpata wa nyumbani. NB: kabla ya hapo nilikuwa na mmorocco ambaye kwa bahati mbaya alipata ajali ya gari, na hivyo ametangulia. In short, umempata wa kumaliza naye maisha bibie njoo pm tuyajenge😀-Inshaallah.
 
Miaka 41 kumkuta mwanaume hana Mtoto futa hicho kigezo hutapata, labda atakudanganya tu Ili apate mseleleleko
 
Achana na London bibie, njoo hapa Boston, US tufanye stara Inshaallah. Kama utaona yafaa kuhama mji nakutaftia kazi nzuri kama au kuliko hiyo hapahapa Boston. Sifa nyengine zooote nnazo na bahati nzuri nami natamani kumpata wa nyumbani. NB: kabla ya hapo nilikuwa na mmorocco ambaye kwa bahati mbaya alipata ajali ya gari, na hivyo ametangulia. In short, umempata wa kumaliza naye maisha bibie njoo pm tuyajenge😀-Inshaallah.
Hama wewe basi kama rahisi tu, mimi nitakupa kazi kwenye kampuni yetu.
 
Achana na London bibie, njoo hapa Boston, US tufanye stara Inshaallah. Kama utaona yafaa kuhama mji nakutaftia kazi nzuri kama au kuliko hiyo hapahapa Boston. Sifa nyengine zooote nnazo na bahati nzuri nami natamani kumpata wa nyumbani. NB: kabla ya hapo nilikuwa na mmorocco ambaye kwa bahati mbaya alipata ajali ya gari, na hivyo ametangulia. In short, umempata wa kumaliza naye maisha bibie njoo pm tuyajenge😀-Inshaallah.
Pole kwa Morrocco wako kwa ajali ya gari. 🙏🙏
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni sana.
Naishi London NI Telecommunications Engineer karibu
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni sana.
Kwa miaka 41 yote uliyonayo bado unakuwa picky . Na masharti yote hayo. Si rahisi

Binaadamu hawezi kupata vyote anavyovitamani.
 
Yeye kasema anaefanya kazi…so hata kubeba mabox ni kazi TI…fanya fanya mambo ndugu yangu tule ubwabwa aise..

Hivi ni kweli huku ndani mtu unaweza kupata mume au mke wa kuoa?

Kama ni kweli ngoja nikamilishe mipango yangu nije na bango humu ndani la kutafuta mume haki tena
Utaishia kuliwa kimasikhara🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom