Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Ungetuwekea picha yako hata ukiziba sura tuone yaliyomo yamo?
Mana huku bongo kuna nguvu inakuja automatically tukiona feature fulani hivi.
 
Ungetuwekea picha yako hata ukiziba sura tuone yaliyomo yamo?
Mana huku bongo kuna nguvu inakuja automatically tukiona feature fulani hivi.
Picha gani tena na tayari umeshaniona mwanzoni ??
 
Ungetuwekea picha yako hata ukiziba sura tuone yaliyomo yamo?
Mana huku bongo kuna nguvu inakuja automatically tukiona feature fulani hivi.
Tuone yalowemo yamo, wewe siuna mtoto/watoto na uko Uk najuwa. Au unanionea huruma Ankol kwa mashambulizi takatifu.
 
Ungetuwekea picha yako hata ukiziba sura tuone yaliyomo yamo?
Mana huku bongo kuna nguvu inakuja automatically tukiona feature fulani hivi.
Sasa umeruka uko Bongo, handsome siulisema uko UK?? Wow
 
Ndio
&
Wow
Mungu ibariki Tanzania na midomo yao, pamoja na unafiki wao lakini sio wote
wengine ni wastarabu mnoooo. 👏👏

Nisije kushushuliwa tena na kiswahili changu hichi kibovu 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️.

Nawashukuru mnooo kwa kunifurahisha saaana kila siku zikienda mbele. 🙏🙏

Kwa hiyo wazidishie saaana baadhi yao sio wote, furaha na ustarabu na wabunguzie saaana stressi za maisha. Amin Amini 🤲🤲
 
Back
Top Bottom