Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Hhhhmmmmmm
Legeza vigezo,,Kuna uzi humu unashauri ukitaka kuoa uoe mwanamke uliyemzidi 15 umri,

Sasa Kwa umri wako 41,,unadhani atatokea mchumba wa umri gani kwako?

Legeza masharti sisi age mate wako tujilipuwe.
 
Legeza vigezo,,Kuna uzi humu unashauri ukitaka kuoa uoe mwanamke uliyemzidi 15 umri,

Sasa Kwa umri wako 41,,unadhani atatokea mchumba wa umri gani kwako?

Legeza masharti sisi age mate wako tujilipuwe.
Na Mjilipuwe kweli kweli
 
Ndoa sio njaa ,,ila ni vazi ambalo husitiri mwili wa mwanamke au mwanume.

Mwanamke bila ndoa ni kama yupo uchi.
Legeza vigezo,,Kuna uzi humu unashauri ukitaka kuoa uoe mwanamke uliyemzidi 15 umri,

Sasa Kwa umri wako 41,,unadhani atatokea mchumba wa umri gani kwako?

Legeza masharti sisi age mate wako tujilipuwe.
Kwa kweli mnanifurahisha mnooo
 
Legeza vigezo,,Kuna uzi humu unashauri ukitaka kuoa uoe mwanamke uliyemzidi 15 umri,

Sasa Kwa umri wako 41,,unadhani atatokea mchumba wa umri gani kwako?

Legeza masharti sisi age mate wako tujilipuwe.
Sijapata kuona
 
Mwanaume umalaya ni sifa njema,
Ndy maana mwanaume mpenda ngono huitwa majina yote mazuri,
Kiwembe.
Kijogoo,


Mwanamke neno lake ni moja tu.
Malaya
Kicheche
Maji mara moja
Nk.
Lakini hii kicheche haimhusu mwanaume pia
Nimeisikia hii kwenye wimbo wa Diamond na Zuchu - ile mtasubiri saana, au sikufahamu. 🤦🏽‍♀️
 
Lakini hii kicheche hamhusu mwanaume pia
Nimeisikia hii kwenye nyimbo wa Diamond na Zuchu - ile mtasubiri saana, au sikufahamu. [emoji2362]
Hao wanavuruga kiswahili,,

Kicheche ni mnyama ambaye hupata riziki yake Kwa kutumia makalio,
Ndy maana ya kicheche.

N sio mwanaume.
 
Back
Top Bottom