Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni sana.
Mimi naomba unipokee tu nakuja London mwakani April kwa matembezi ya wiki moja tu, tunaweza juana kuanzia hapo.
 
Wadau hivi huyu manzi alishapataga bwana?
 
Miaka 41 mwanamume asiye na mtoto, labda ungebadili iwe aliyekataa/kutelekeza watoto
 
Utani mwingine unafikirisha, Yaani utafute bwana above 41 asiyekuwa na mtoto tena awe anaishi London kupitia jf??
Hapo London wapo Wazanzibar na Watanzania wenzako kina Makame, Khamis, Hajji na Hamoud ila wana watoto zaid ya 5 ena wengine wamewaacha huko Kwamtipula, Saateni, Chukwani na Mbweni. Hapo London waliobaki wenye umri huo na hawana watoto ni wazee wa upinde.
 
Back
Top Bottom