Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
-
- #621
Kabisa ππHalafu ni wanababa[emoji706]
ππHaya kama kuna wanaijiria humu wajitokeze wenyewe π
MmmmmhhhhhhChai
Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,Sasa mtu anakujia tu pm kwa kutaka pesa???
Au mnakuwa mshaongeaga.
[emoji2440][emoji2440][emoji2440]Hahaha............nafuta kauli Mhe. Mwenyekiti [emoji2957]
Utapata dear.Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,
hakuwa na jibu sahihi ndio hapa nikawa na hofu.
Chengine mimi simjui kabisa, kaniomba pesa siku ya pili baada ya kuchat nae.
Isitoshe nilipomwambia sina, kapotea kabisa.
Ndio sasa nasema kwa kutahadharisha wengine kama hizi tabia wanafanyiwa wanawake wengine pia.
Vile vile mimi sio mtu wa kuhukumu au kutukana mtu bali mimi nilitukanwa na kuhukumiwa mnoooo kisa vigezo vyangu kwa mtu ninae tafuta [emoji120][emoji120]
ππUtapata dear.
Hatari sanaKama wewe
Bado hujafanya sawa kuja kutuambia hapa mngemalizana hukohuko pm.Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,
hakuwa na jibu sahihi ndio hapa nikawa na hofu.
Chengine mimi simjui kabisa kaniomba pesa siku ya pili baada ya kuchat nae.
Isitoshe nilipomwambia sina, kapotea ndio sasa nasema kwa kutahadharisha wengine
kama hizi tabia wanafanyiwa wanawake wengine. π³π
Pole SanaSijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,
hakuwa na jibu sahihi ndio hapa nikawa na hofu.
Chengine mimi simjui kabisa, kaniomba pesa siku ya pili baada ya kuchat nae.
Isitoshe nilipomwambia sina, kapotea kabisa.
Ndio sasa nasema kwa kutahadharisha wengine kama hizi tabia wanafanyiwa wanawake wengine pia. ππ