wapo wengi Sana ila tukipata id zao tuna wakanya na wanaacha. kwahio wee mtaje tumkanye.Inamana wapo wengine humu.
Kuhusu kumtaja jina nitamwambia baadae. ๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo wengi Sana ila tukipata id zao tuna wakanya na wanaacha. kwahio wee mtaje tumkanye.Inamana wapo wengine humu.
Kuhusu kumtaja jina nitamwambia baadae. ๐๐
Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali.kusaidiana katika maisha ni jambo la kawaida sana. Kuna watu wanapitia changamoto kubwa sana katika maisha. Haijalishi ni ke/me. Kutana na hitaji la mtu kwanza na mengine ni ziada tu. Kama kweli ulihitaji mme pengine huyo ndo alikuwa mmeo.
Sawa nitakwambia ๐๐wapo wengi Sana ila tukipata id zao tuna wakanya na wanaacha. kwahio wee mtaje tumkanye.
Pesa nashaka alisikia Bibi kizee ๐ณ๐
sawa. niambie kwa siri.Sawa nitakwambia ๐๐
Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,Poole sana.
Watanzania tuna matatizo mengi sana kama unaweza saidia basi saidia tu bila kujali na kama huwezi mwambie tu sina basi mnamalizana hukohuko.
Mpaka sasa kuna baadhi ya tabia unaonyesha zinaleta ukakasi kidogo.
Nyie mmekutana huko pm bila kutupa taarifa mlokua mnachat sasa mmeanza kuombana pesa unakuja kututangazia Ili iweje?
Nina kisa cha mtu mmoja ambae alifahamiana na mchumba wake hapa JF na sasa ni wanandoa. Yule dada alimsaidia sana mpenzi wake wakati wa uchumba. Hakujali kwamba ndo walikuwa wanaanza kufahamiana. Baada ya kutambua kwamba ni kweli alikuwa na uhitaji na nia yake ya kuoa ilikuwepo, alianza kusimama nae hadi mshikaji alipopata kazi. Alimsapoti sana na sasa wanaishi pamoja katika ndoa. USHAURI WANGU: Tusiwahukumu watu, waume/wake kwa sababu tu amekuambia shida yake. Mungu amekubariki kwa ulicho nacho ili kupitia wewe, wengine waione nuru. Ukisahau hii kanuni katika maisha, utapoteza kila kitu. Kama hujaridhika nae, muambie inbox kwamba, nashukuru na hilo lipo nje ya uwezo wangu and he'll be grateful!Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali.
Hakuwa na jibu sahihi ndio hapo nikawa na hofu. ๐ณ๐
Kwa sura hiyo. ๐ณ๐Nakutaka, nakutamani, nakupenda. Nina hamu na wewe, njoo DSM tufanye maisha.
Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,Mfundishe,mwambie mrembo haombwi pesa
๐๐sawa. niambie kwa siri.
Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,Nina kisa cha mtu mmoja ambae alifahamiana na mchumba wake hapa JF na sasa ni wanandoa. Yule dada alimsaidia sana mpenzi wake wakati wa uchumba. Hakujali kwamba ndo walikuwa wanaanza kufahamiana. Baada ya kutambua kwamba ni kweli alikuwa na uhitaji na nia yake ya kuoa ilikuwepo, alianza kusimama nae hadi mshikaji alipopata kazi. Alimsapoti sana na sasa wanaishi pamoja katika ndoa. USHAURI WANGU: Tusiwahukumu watu, waume/wake kwa sababu tu amekuambia shida yake. Mungu amekubariki kwa ulicho nacho ili kupitia wewe, wengine waione nuru. Ukisahau hii kanuni katika maisha, utapoteza kila kitu. Kama hujaridhika nae, muambie inbox kwamba, nashukuru na hilo lipo nje ya uwezo wangu and he'll be grateful!
๐๐Ndume
Nilipotukanwa na kuhukumiwaDada unapenda attention dah! Are you psychologically OK? Are you even a woman?
I see someone who is psychologically disturbed with inferiority complex syndrome and an extreme case of narcissistic personality disorder.
Unajiona uko special sana na unapata furaha na ridhiko la ajabu watu kukaa wanakuongelea.
Niko hapa kama unahitaji msaada wa nasaha na matibabu mengine kwa changamoto zako za afya ya akili zinazokukabili.
Allah Anakupenda na Atakusaidia. Mimi pia nakupenda na nitakusaidia ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
Angalizo Wagonjwa wengi wa narcissistic personality disorder huwa hawajitambui kama wana tatizo hilo na ukiwakanya ni wakali kweli kweli!
Nilipotukanwa na kuhukumiwaMentally you are not OK. I am here if you need professional help ๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
Hahaha............nafuta kauli Mhe. Mwenyekiti ๐คชAmchezee[emoji3059]
Tumia mbadala ya kumchezea, imekaa kushoto hii sentensi[emoji41]
Kama weweNdume
Sijakataa kumsaidia lakini nilipo muuliza atanilipaje kuwa tuko nchi mbali mbali,Usiogope kuombwa hela Dada, huyo anakupima Imani ajue kama kweli una mpenda au unataka kumchezea ๐คช๐คช.
Sawa ๐๐Ila dada una pilikapilika duh