Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
- #581
Nimemjua hapa mtandaoni tu baada ya siku chache, ndio nina wasi wasi. Na nikauliza atanilipaje kuwa tuko nchi tofauti, hakuwa na jibu sahihi. 😳🙄ungempa kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemjua hapa mtandaoni tu baada ya siku chache, ndio nina wasi wasi. Na nikauliza atanilipaje kuwa tuko nchi tofauti, hakuwa na jibu sahihi. 😳🙄ungempa kwanza.
Kupima imani kishetani hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usiogope kuombwa hela Dada, huyo anakupima Imani ajue kama kweli una mpenda au unataka kumchezea [emoji2957][emoji2957].
Kwa kweli nimemwambia sina baada ya kunitia wasi wasi. Nilimuuliza atanilipaje kuwa tuko nchi tofauti, hakuwa na jibu sahihi. 😳🙄mtaje id yake ili tumkanye aache tabia yake mbaya. mtaje...
Hahaha..............muache mtoa mada apimwe Imani, asije kuwa anampango wa kumchezea Mwanaume mwenzetu 🤪🏃🏃🏃Kupima imani kishetani hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mtaje tumjue mana Kuna mmoja alikua natabia Kama hio tulipo mkanya sisi wazee wajukwaa akaachaKwa kweli nimemwambia sina baada ya kunitia wasi wasi. Nilimuuliza atanilipaje kuwa tuko nchi tofauti, hakuwa na jibu sahihi. 😳🙄
Kama watu wengine mnafanyiwa hivi, nimesema muwe na tahadhari pia. 🙏🙏
Sio wewe ulioniomba na wala hatujawi kuongea kabisa, kwa kweli hatujuani kabisa. 😳🙄Haya bwana umeamua kuja kunisemea huku dadangu wakati tulikuwa wawili tu😬😬
Ni mimi nilikuwa naomba nauli nikufuate huko londoniSio wewe ulioniomba na wala hatujawi kuongea kabisa. 😳🙄
Sikujui 😳🙄Ni mimi nilikuwa naomba nauli nikufuate huko londoni
Inamana wapo wengine humu.mtaje tumjue mana Kuna mmoja alikua natabia Kama hio tulipo mkanya sisi wazee wajukwaa akaacha
Amchezee[emoji3059]Hahaha..............muache mtoa mada apimwe Imani, asije kuwa anampango wa kumchezea Mwanaume mwenzetu [emoji2957][emoji125][emoji125][emoji125]
Pesa nashaka alisikia Bibi kizee 😳🙄Wabongo wanaomba mbususu ila huyo mnaijiriiiia kafuata Nini tena
Ashawoo/asewo🙌