Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Click kwenye jina lake ikifunguka nenda kushoto kwenye block follow, mtie kuzimu.Hasira ni shida na njaa zake,
na unablockaje ?? Mimi mpya hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Click kwenye jina lake ikifunguka nenda kushoto kwenye block follow, mtie kuzimu.Hasira ni shida na njaa zake,
na unablockaje ?? Mimi mpya hapa
Bonyeza jina lake utaona blok..hutaona comments zake...poleHasira ni shida na njaa zake,
na unablockaje ?? Mimi mpya hapa
Laa TaghdhabBibi wa Beijing ni mama yako na bibi zako na uko wako wote.
Jisikilize ulivokuwa hujitambui na kujaa na upumbavu .
Hii ni dhahiri kuwa ni mbaguzi wa maendelee ya wanawake,
utakufa wewe tena fasta kwa madawa na tamaa za ngono.
Sasa simuone hata hapa kwenye jukwaa sio kunitumia messeji zake tu. Ahsante saanaClick kwenye jina lake ikifunguka nenda kushoto kwenye block follow, mtie kuzimu.
Hampo serious kitu kimejielezaTunaomba ufafanuzi hapo kwenye misingi ya dini. Ni dini gani? Je, mume wako mtarajiwa awe wa dini gani na wewe ni dini gani?
Mzab zab Hana sifa zote ila anazotakazofanya muwe pamoja ila kwakweli sio muislam na haishi nje ila anaweza kuja alipo huyu mwanadada naanaelimu so ataomba kaziMiaka 41 +mwanaume awe hana mtoto !????ina maana unatafuta mgumba sjui tasa sjui!!Sawa wapo watakuja lakini
Ila sialikuwa nayo ila kwanini uombe mabaya ombea furaha angalia bill gates hajafikia tokea mwanzo hadi sasa jiombee heriShida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi.
Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara?
Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
Sasa simuone hata hapa kwenye jukwaa sio kunitumia messeji zake tu. Ahsante saanaBonyeza jina lake utaona blok..hutaona comments zake...pole
Hasa ukiwa na njaa 😳😤Mental healthy is real! ...duh!
Ndio hasira zenyewe najuwa ni shida na njaa.Usikute hata kuoga kwenyewe hajaoga siku mbili, maana huku kwetu Sasa hivi ukioga ndoo kubwa unaweza hata kurogwa.
Ahsante saaanaLabda mods wanaenjoy au wanashiriki, huyo mdhalilishaji nimemrepoti walichofanya ni kufuta post zile za matusi tu na muhusika yuko free tu hakuna hata ban ya kumfunza adabu.
Kwa kweli nimemuona kaanza kutukana wanawake sasa pia anaaza kutukana wanaume. Ana matatizo makubwa mnooo.Ila uongozi wa jf una walakini...watu wanadhalilishwa sana humu na wapo kimya
Inaonekana huyu mtu yuko huko na unamjua vilivyo ila unashindwa kum approach, cha kufanya tafuta mtu mzima mmoja mtume akamwambie unamhitajiNaishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofisini, nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa kuanzi miaka 41 mwisho 50, muislamu hana mke/wake, anaishi London na sio mji mwengine wa UK, kanizidi urefu, mimi ni 5'2", vile vile Mzanzibari mwezangu. Ahsanteni saaana 🙏🙏
Kwa kweli samahani hapa sijakufamu vizuriInaonekana huyu mtu yuko huko na unamjua vilivyo ila unashindwa kum approach, cha kufanya tafuta mtu mzima mmoja mtume akamwambie unamhitaji
Pia sijapenda kabisa kuwa humu wamo wanawake na wanaume wenye heshima sio hahuni kama yeye.Ila uongozi wa jf una walakini...watu wanadhalilishwa sana humu na wapo kimya
Hapotoshi bado kanijia inbox kwa kunituka na kuendelea kuninyanyasa.Ila uongozi wa jf una walakini...watu wanadhalilishwa sana humu na wapo kimya
Mreport kwa mods...Hapotoshi bado kanijia ibox kwa kunituka na kuendelea kuninyanyasa.
Sasa najiuliza chazo nini kama sio chuki na ubaguzi kuwa simjui na nimejaribu kuwa mstarabu mnooo kwa kila mtu na ninapokosea pia naomba msamaha.
Tayari nimeshafanya kitambo leo asubuhiMreport kwa mods...
Akili zako basi tuUsikute hata kuoga kwenyewe hajaoga siku mbili, maana huku kwetu Sasa hivi ukioga ndoo kubwa unaweza hata kurogwa.