Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Bibi wa Beijing ni mama yako na bibi zako na uko wako wote.
Jisikilize ulivokuwa hujitambui na kujaa na upumbavu .
Hii ni dhahiri kuwa ni mbaguzi wa maendelee ya wanawake,
utakufa wewe tena fasta kwa madawa na tamaa za ngono.
Laa Taghdhab
 
Miaka 41 +mwanaume awe hana mtoto !????ina maana unatafuta mgumba sjui tasa sjui!!Sawa wapo watakuja lakini
Mzab zab Hana sifa zote ila anazotakazofanya muwe pamoja ila kwakweli sio muislam na haishi nje ila anaweza kuja alipo huyu mwanadada naanaelimu so ataomba kazi
 
Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.

Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi.

Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara?

Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
Ila sialikuwa nayo ila kwanini uombe mabaya ombea furaha angalia bill gates hajafikia tokea mwanzo hadi sasa jiombee heri
 
Labda mods wanaenjoy au wanashiriki, huyo mdhalilishaji nimemrepoti walichofanya ni kufuta post zile za matusi tu na muhusika yuko free tu hakuna hata ban ya kumfunza adabu.
Ahsante saaana
 
Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofisini, nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa kuanzi miaka 41 mwisho 50, muislamu hana mke/wake, anaishi London na sio mji mwengine wa UK, kanizidi urefu, mimi ni 5'2", vile vile Mzanzibari mwezangu. Ahsanteni saaana 🙏🙏
Inaonekana huyu mtu yuko huko na unamjua vilivyo ila unashindwa kum approach, cha kufanya tafuta mtu mzima mmoja mtume akamwambie unamhitaji
 
Inaonekana huyu mtu yuko huko na unamjua vilivyo ila unashindwa kum approach, cha kufanya tafuta mtu mzima mmoja mtume akamwambie unamhitaji
Kwa kweli samahani hapa sijakufamu vizuri
 
Ila uongozi wa jf una walakini...watu wanadhalilishwa sana humu na wapo kimya
Hapotoshi bado kanijia inbox kwa kunituka na kuendelea kuninyanyasa.

Sasa najiuliza chazo nini kama sio chuki na ubaguzi kuwa simjui na nimejaribu kuwa mstarabu mnooo kwa kila mtu na ninapokosea pia naomba msamaha.
 
Hapotoshi bado kanijia ibox kwa kunituka na kuendelea kuninyanyasa.

Sasa najiuliza chazo nini kama sio chuki na ubaguzi kuwa simjui na nimejaribu kuwa mstarabu mnooo kwa kila mtu na ninapokosea pia naomba msamaha.
Mreport kwa mods...
 
Nimetimua mbio kuja kumbe ni London ya UK da! maana hapa naishi karibu na baa inaitwa London huku misungwi karibu kabisa na shule ya msingi Kolomije
 
Back
Top Bottom