Natafuta mchumba wa kiume

Ni pm, nina nusu degree na watoto 3, umri 40 yrs, karibu kama uko serious!!!
 
mm nina degree...na kaz yangu ulinzi...ni PM.....[emoji61] [emoji61] [emoji61] [emoji61]
 
HIVI MNAKUAGA SERIOUS AU MNACHANGAMSHA GENGE?? MAANA HUA HAINIINGII AKILINI KWA MWANAMKE KUTAFUTA MCHUMBA AS IF ANATAKA KUOA
Wako serious asee,mm nmewasliana naye sema tumetofautiana mahali ila yko bomba,kama vp npm nkupe details
 
 
kama una kazi yako nzuri unatafta mume kwa ajili ya nini?
 
Duh ila we mdada ni balaa. Hivi haujaacha utapeli wako!? Acha utapeli muogope Mungu
 
Ulihamia lini Morogoro?, maana wazawa wa hapo hawapo hivyo, unawazalilisha sana!!!!!!!. Hebu njoo inbox
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…