Mr Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 1,670
- 764
Huyu mwanaume unamtaka kwanzia lini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah! Mkuu umenichesha sanaHuyu mwanaume unamtaka kwanzia lini ?
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah! Mkuu umenichesha sana
Sio mbeya mkuu?Ulishahama musoma?
Kweli kabisa mkuu tujue nikwa siku moja au endelevuEeee lazima sasa tuwe specific
Ni pm tuongee labda wewe ni wangu maana vigezo vyote ulivyotaja ninavyo tena elimu nimeizidisha sanaMimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.
Hujaweka sifa zako, sura, Rangi, umbo lako, kabila lako, unaonekana uko serious kweliMimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.
Nipo Serious je tukichati apa apa sebulen vibayaMimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.
Mimi sifa zote ninazo kasoro elimu kama kigezo cha elimu utaondoa twende kazi.Mimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.
Umewai enda sokon ukanunua kitu kwa kutumia upendo kama cyo hela mh....ukiwasoma washaur wa masuala ya ndoa wenyewe wanashau mtu alolewe na mwanaume aliemzd wew kaa huna vigezo kaa pembenElimu ndo inaolewa au inaoa?
Omba Mungu akupatie mume mwema, hatopatikana kwa vigezo ulivyovitaja, atapatikana kwa kutumia vyema milango yako ya fahamu mitano; hapo ndo mlango wa sita utakapofunguka na kuona yale yasiyoonekana kwa macho ya kawaida.
Nina masters ya cost account,cert ya hr,diploma ya law na degree ya IT umri miaka 35Mimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.