Hiv kun watu bado wanatafutaga wachumba kumbe[emoji849]
Mpole lakini umepewa mtoto na kuachwa?Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Ingekuwa yake angezalishwa na kukimbiwa...?hiyo avatar hapo ndio wewe?
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Nipo hapa,nisaidie kukaa nae kila Mwezi niwe napasha kiporoBaba wa mwanao yuko wapi na mwanao ana umri gani? Tuanzie hapo kwanza.
all the best dear