Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
baadae nakuja pls usifunge mlangoThanks baby
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]baadae nakuja pls usifunge mlango
Uko mkoa. Gn weweHiv kun watu bado wanatafutaga wachumba kumbe[emoji849]
Victoria kama uko single tuanzishe agenda na sisi!Mwanao ana umri gani? Nina kaka yangu hajaoa.
Kwanini unanifanyia hivi lkn?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka 6 unampeleka mtoto Bweni? Bweni anenda Mtoto wa Form 1 aliyeanza kujielewa....Bora akakae kwa Bibi yake kuliko kumpeleka bweni.Kama utampata mume,huyo mtoto peleka shule ya bweni ili maisha yaende vizuri.
Hapa jf wameisha labda jaribu kwingineMmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Sawa, baba wa mtoto yuko wapi?
Babe what's wrong?Kwanini unanifanyia hivi lkn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Unataka kuoa wote?
Sawa.Victoria kama uko single tuanzishe agenda na sisi!
Ni pm pleaseSawa.
Njoo pm, niko serious natafuta mkeMmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Mm ni mcha mungu ila navuta bangiMmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Aisee mimi namtimulia mbaliNdugu yangu haya mambo bana.
Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
Siku unarudi unakuta alikuja mtoto alizidiwa sana...na kwa kuwa alitoka mbali akachinjiwa na Yule jogoo wako kuchi unayempenda sana......hahaaaaaaa...mtoa mada utapata hitaji lako this is joke tuuNdugu yangu haya mambo bana.
Uko na mkeo mmetulia mtu anaanza mara kuongea ongea kwenye simu ukiuliza unaambiwa ni baba wa mtoto. Mara anaanza kuja na kwako kumuangalia mwanae. Utamfukuza?
Ngoja na Mimi niunge tela ninavyokukubaligiSawa.