Natafuta mchumba wa kiume

Natafuta mchumba wa kiume

Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
Huyo uliyezaa naye alikushindwa sisi tutakuweza?
 
Yaani nimekukosa Baby Kanso hivi hivi! Huyo boya uliyekua naye akikuzingua njoo faster kwangu uje udeke.
 
Mnapokuwa hot miaka ya below 21 mbona hamji hapa kutafuta waume? Mkishazalishwa ndo mnakuja mnatuona sisi wanaume wa JF ni wazee na tumejichokea kula makombo? Mimi natafuta binti mbichi ambaye hajazaa aje PM ndoa guaranteed!
 
na sifa zote
mchapakazi
jasiri
mchamungu/mchungaji mtarajiwa
umri wa 20
 
Back
Top Bottom