Natafuta mchumba wa kiume

Chuo unamaliza lini tusije kuta tunatoa matumizi tu huko chuoni.
 
Binti ulimpata mchumba wako?
 
HILI JAMAA JANAUME HALAFU LINATAFUTA MCHUMBA WA KIUME?

WAKUU MLIOENDA DM LETENI MREJESHO HUKU.

EBU MPITIE NYUZI ZAKE ZA NYUMA HUKO NI MAN MKABISA
 
Huyu ni tapeli..niliingia pm yake tukachat kidogo tu nikaanza kuombwa hela ya umeme.jizi sana
 
unafikiria wanaume waowaji wanavutiwa na bikira.....????bikira ya nini??kusumbuana tuu kisa.....????wanataka siku ya siku anaupenyeza mkuki shaaaaa......??? umeokoka ndio kitu gani??? umeshindwa kuongea na Mungu unaemuabudu unarudi kwa wanadamu kuwaambia hitaji lako???kwanza kusema tuu una bikira wewe ni mpumbafu kabisa...msichana aliewweza kutunza usichana wake hawezi kupayuka payuka ana bikira......hapa watapambania kuhakiki..... tabia na heshima ndio silaha ya kumpata wako muhibu........talk to your God......kila la kheri.....
 
kwakweli lazima niwe mkweli siwez ingia kwenye ndoa bila kujua utamu wako
 
Nipo
 
njoo tuyajenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…