Natafuta mchumba wa kiume

Natafuta mchumba wa kiume

Habari wapendwa!

Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu. Nipo tayari kuolewa na mwanamme mwenye sifa zifuatazo;

1. Awe na umri kuanzia miaka 26 mpaka 34
2. Awe anajua kutafuta pesa. Ila siyo lazima awe tajiri
3. Dini awe mkristu.
4. Kabira lolote
5. Asinitake kimwili kabla ya kufunga ndoa.

Mengine tutajuza huko pm. Sifa zangu Mimi ni kama ifuatavyo. Nimeoka, bado sijamjua mwanamme(bado nipo bikira), Ni mweupe, Ni mvumilivu na nina miaka 23 kama nilivyotangilia kusema.

Karibu sana
Ombi Natangaza kutia nia kuwa mgombea vigezo nimekidhi hapo kwenye umri nimezidi kidogo naomba ofisi ya moyo wako inifikirie.
Asante
 
Sifa zote ninazo ila avatar yako tu imenitisha hadi nimeogopa (bikira23) mbona ulipendelewa zote hizo, wakati wengi wanapewa mbili tu

Huu uzi lazima walafi wa bikra wapigwe, maana mtoa mada mara mwanamke mara mwanaume,
 
Naomba unitafute haraka Sana ninauhitaji Sana.mjasilimali mdogo nafanya kazi
 
Noma sana, I'd tu inareflect kila kitu kuhusu wewe

California love
 
Habari wapendwa!

Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu. Nipo tayari kuolewa na mwanamme mwenye sifa zifuatazo;

1. Awe na umri kuanzia miaka 26 mpaka 34
2. Awe anajua kutafuta pesa. Ila siyo lazima awe tajiri
3. Dini awe mkristu.
4. Kabira lolote
5. Asinitake kimwili kabla ya kufunga ndoa.

Mengine tutajuza huko pm. Sifa zangu Mimi ni kama ifuatavyo. Nimeoka, bado sijamjua mwanamme(bado nipo bikira), Ni mweupe, Ni mvumilivu na nina miaka 23 kama nilivyotangilia kusema.

Karibu sana
Karibu pm hutajuta kuwa na Mimi mpendwa.mimi nitavumilia mpaka ndoa Kama ulivyo sema.
 
Matapeli kazin, kuweni makini kuna kondoo anatafutwa hapa
 
Habari wapendwa!

Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu. Nipo tayari kuolewa na mwanamme mwenye sifa zifuatazo;

1. Awe na umri kuanzia miaka 26 mpaka 34
2. Awe anajua kutafuta pesa. Ila siyo lazima awe tajiri
3. Dini awe mkristu.
4. Kabira lolote
5. Asinitake kimwili kabla ya kufunga ndoa.

Mengine tutajuza huko pm. Sifa zangu Mimi ni kama ifuatavyo. Nimeoka, bado sijamjua mwanamme(bado nipo bikira), Ni mweupe, Ni mvumilivu na nina miaka 23 kama nilivyotangilia kusema.

Karibu sana
Usituharibie !!!! Tupo bizy kusaka ridha kwenda kugombea ubunge2020
 
Habari wapendwa!

Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu. Nipo tayari kuolewa na mwanamme mwenye sifa zifuatazo;

1. Awe na umri kuanzia miaka 26 mpaka 34
2. Awe anajua kutafuta pesa. Ila siyo lazima awe tajiri
3. Dini awe mkristu.
4. Kabira lolote
5. Asinitake kimwili kabla ya kufunga ndoa.

Mengine tutajuza huko pm. Sifa zangu Mimi ni kama ifuatavyo. Nimeoka, bado sijamjua mwanamme(bado nipo bikira), Ni mweupe, Ni mvumilivu na nina miaka 23 kama nilivyotangilia kusema.

Karibu sana
Hatujasahau mlichomfanyia Mdude chadema
 
Habari wapendwa!

Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu. Nipo tayari kuolewa na mwanamme mwenye sifa zifuatazo;

1. Awe na umri kuanzia miaka 26 mpaka 34
2. Awe anajua kutafuta pesa. Ila siyo lazima awe tajiri
3. Dini awe mkristu.
4. Kabira lolote
5. Asinitake kimwili kabla ya kufunga ndoa.

Mengine tutajuza huko pm. Sifa zangu Mimi ni kama ifuatavyo. Nimeoka, bado sijamjua mwanamme(bado nipo bikira), Ni mweupe, Ni mvumilivu na nina miaka 23 kama nilivyotangilia kusema.

Karibu sana
Ile post nyingine inaonesha kam ni Wa kiume
 
Back
Top Bottom