Natafuta mchumba wa kunioa, nipo Mbeya

Natafuta mchumba wa kunioa, nipo Mbeya

Nafanya kazi melini utakubali kuvumilia miezi kadhaa?
 
Nikutakie safar njema japo na mimi nasaka mchumba lakini kuna kipengele sijakiza kama hautojali kipengele hicho njoo pm tujue tunafanyeje.
 
Hivi hawa wanawake wanao tafuta wakuolewa nao kwenye media huwa wanafugika kweli. By the way hakunaga mwanaume wa kuona naona hiyo yaani direct tu. Mambo yanaanza kwenye upenzi kwanza ( girl friend boy friend) kisha mnakuja stage ya uchumba ndo ndoa inakuja. stage ngumu sana ni ya pili. ukimaliza hiyo vizuri ndoa hiyooo.
Stage ya pili ina ugumu gani kaka?

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Stage ya pili ina ugumu gani kaka?

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Mnapokuwa kwenye stage ya kwanza mara nyingi panakuwa hakuna ahadi yoyote mnakuwa ni marafiki tu, kwa hiyo kila mtu anaishi kwa uhuru na kujiachia kama kawaida, nothing to hide, mnapofikia hatua ya uchumba wote majaribu kuficha uhalisia wenu ili kila mmoja kuweza kumfurahisha mwenzake, sasa hapa ndo nikasema kuwa wakati wa ucha ni mgumu sana kwamaana asilimia kubwa mtakuwa mnaishi fake life.
sasa chukulia mfano binti hamkuwahi kuwa marafiki before (girlfriend /boyfriend) mkaja kuwa wachumba direct, hapo inamaana utakuwa hujui uhalisia wake (her true colors), sasa ukaja gundua kuwa anaishi in a fake life, au kuna ambayo amekuficha kuhusu life yake before you, HAPO HAKUNA NDOA TENA.
 
Njoo Pm Dear
Hi jamani,

Naitwa Marry nipo Mbeya, natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo;

Awe mrefu wastani kuanzia foot 5-6.

Awe amesoma angalau had fom four

Awe ameajiliwa au anejiajiri sawa tu

Awe mkweli na mwenye busara.
 
Back
Top Bottom