Mambo ya Interview hayo na huweza kuendelea hata baada ya ndoa. Chochote unachohitaja ni lazima mama akupige interview kwanza. Poleni vijana wa kisasa.Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema ukioa mrangi umeolea mtaa mzima maana wao huwa hawana neno hapana, wengi wanalingia weupe kwamba ndiyo uzuri wao. Utachapiwa mpaka akili zikae sawa. Wengi wanapenda sana ndumba kumweka sawa mume wake hivyo utakula visivyolika kama Wachina na kula kila kitu mpaka popo ambaye anawatesa sasa hivi Kwa kueneza virus ambayo inawauwa kama kuku.Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee
Sent using Jamii Forums mobile app
🙄Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh jamani!!,halafu baadae angeanza kuomba hela kwa waliokwenda PM,umaskini kitu kibayaView attachment 1337639
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh jamani!!,halafu baadae angeanza kuomba hela kwa waliokwenda PM,umaskini kitu kibayaView attachment 1337639
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndicho kitakachomtokeaKua makini kuna wazee wa kula tunda kimasihara[emoji317]
AiseeHuyu ni me
Soma alicho post katika huu uzi #17#[emoji1427]Masanja Mkandamizaji huyu huyu amekua na upako wa kuangusha watu?!