Natafuta mchumba wa kunioa

Natafuta mchumba wa kunioa

Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya Interview hayo na huweza kuendelea hata baada ya ndoa. Chochote unachohitaja ni lazima mama akupige interview kwanza. Poleni vijana wa kisasa.
 
Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema ukioa mrangi umeolea mtaa mzima maana wao huwa hawana neno hapana, wengi wanalingia weupe kwamba ndiyo uzuri wao. Utachapiwa mpaka akili zikae sawa. Wengi wanapenda sana ndumba kumweka sawa mume wake hivyo utakula visivyolika kama Wachina na kula kila kitu mpaka popo ambaye anawatesa sasa hivi Kwa kueneza virus ambayo inawauwa kama kuku.
 
Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee

Sent using Jamii Forums mobile app
🙄
 
teh teh hii njemba inataka kularuliwa mirinda sijui marinda.

dah!? na unakuta ana ID nyingine humuhumu. kuna kitu anakitafuta na baadhi washakifaham.
 
Huyu mtu ni mtihani sana kumuamini, mwanamke wa kiislam anaolewa na mwanaume mwenye sifa mbili, kwanza dini yake (yaani awe muislam kwa vitendo sio jina tu) na tabia njema. Sasa dadaetu kama kweli wewe mtu umayejihifadhi huwezi kuandika pumba zile alafu ujitetee kwamba ulikuwa unafanya utani..pili wazazi wako wenyewe waliokutuma uje jf utafute huyo mume naona kama unakwama mahala yaani uongo mwingi. Hata utetezi wako unaonekana kwamba yaani umelazimishwa lazima upate mume jf hahaha
 
Tatizo la warangi bwana,maharage ya mbeya... Ukimtongoza mrangi,zaidi ya mara tano hajakupa mbunye, basi utakua una tatizo sehemu... ni wepesi sana hawa,last week nimekula mrangi ki utani,utani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom