Natafuta mchumba wa kunioa

Una uhakika umefikisha miaka 20?.
Kwanini kaka yako awepo kama wewe una miaka 18+?.
Ina maana kabla hamjafunga 'ndoa' auhitaji kupata muda wa kumjua mume wako mtarajiwa?. Au kaka yako ndio atakusaidia kumjua ndio maana inabidi awepo.?
Shez so yesterday[emoji1][emoji1][emoji1] atakua mtoto wa mchungaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini unataka kuoelewa ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na dem wa kirangi nikasafiri miezi kama 8 nakuja kurudi namkuta ana mimba ya miezi 5,kumuuliza hana jibu,wanakau malaya hao watu,sijui huo weupe wao ndo unawafanya watoe utam kila sehem

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amaizing stuff

Yaani niongee na baba kabla ya kuonana face to face na wewe??

Halafu comment zako zinaonyesha wewe ni kidume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…