Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye majukwaa ya siasa ni maarufu sana huko?,Kama itakuwa ni kwel basi kuna mtu anatafutwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna atakayekuja kusema mleta mada ni wa kiume
Shez so yesterday[emoji1][emoji1][emoji1] atakua mtoto wa mchungaji.Una uhakika umefikisha miaka 20?.
Kwanini kaka yako awepo kama wewe una miaka 18+?.
Ina maana kabla hamjafunga 'ndoa' auhitaji kupata muda wa kumjua mume wako mtarajiwa?. Au kaka yako ndio atakusaidia kumjua ndio maana inabidi awepo.?
Yeah, Ndio maana hajibu pm yangu ...kweli mkuu hili dumeHuyu ni me
Soma alicho post katika huu uzi #17#[emoji1427]Masanja Mkandamizaji huyu huyu amekua na upako wa kuangusha watu?!
Mimi ni msichana ninaishi dodoma . Kabila langu ni mrangi . Umri wangu ni miaka 20 . Natafuta mchumba wa kufunga nae ndoa kwani umri wangu unaruhusu kuolewaa elimu yangu kidato cha nne . Ni mrefu mwembamba , mweupe . Nahitaji mwanaume awe serious na si kunisumbua Pm.
Ukija Pm nitakuhoji maswali nikiridhika ndio tukubalianee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, Inaonekana ni hivyo [emoji52]Mtoto mdoooogo, mbichiiii kwa enzi izo asingeweza kuthubutu ata kuandika haya! Huyu wa sasa ameshagongwa gongwa kwa umri wake huo adi amekata tamaa ya kukutana na mume wake alopangiwa na Mungu kaja kutafuta mitandaoni
Nitakujibu usijal japo najua watu ambao ni wabaya hawaamin wanakaa kuwaza vitu vya kijinga.Nidanganye kwa manufaa ya nani ?
We waache tu halafu naskia alikuwa anaonekana jukwaa la siasa kama TISS kwel atakuwa na list ya I'd zake anazozitafuta
Amaizing stuffSikiliza katika uislam bab ndie walii wa ndoa. Yaan ndie anaeniozesha kwa mume nimpendae . Hivyo anajukum kubwa saana juu yangu. Mfano mimi hata nikitokea kumpenda mwanamume kisha nikamueleza Baba halafu Baba akaona hajaridhika na tabia ya huyo anaetaka kunioa anahaki ya kukataa na ndoa haiwez kufungwa..
Ndio maana nimesema nikiridhika nawewe nitakachofanya nikumtumia namba ya baba yangu na sio yakwangu ili aelekezwe napoishi kisha aje nyumbani aongee na Baba kisha ndio tuonane nae tukiwa pamoja na kaka yangu . Baada ya hapo kama yupo tayari ataleta mahari ndoa ifungwe
Sent using Jamii Forums mobile app