Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashkuru niko makinii ucjalKua makini kuna wazee wa kula tunda kimasihara[emoji317]
Hayaa umeelewekaa[emoji23][emoji23][emoji23] oneni uyu..awa ndo wale ambao wakiombwa No.wana ringa afu mna kuja kusumbua mtandaoni
[emoji2215][emoji2215]ngja nije kwanza[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijazaa na sijawahi kuwa na mwanamume katika mahusiano .Ushazaa mtoto? Hafu mbona umri wako bado mdogo hiyo mikiki ya ndoa utaiweza?
Hao ndo Hawa!
Uwongo wakwanzaSijazaa na sijawahi kuwa na mwanamume katika mahusiano .
Kuhusu umri nadhani ushafikia nahofia nikizidi kukaa bila kuolewa nitazinii
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba sitoi . Nikirudhika nawewe nakupa namba ya Baba yangu uongee nae kama uko seruous na sitawasiliana nawe sehemu faragha isipikuwa nyumbani na lazima tuwe na kaka yanguNipatie namba yako pm tuongee zai ila uwe tayari kuwa mathna
Sawa we mkweli . NashkuruUwongo wakwanza
Kwahyo wewe bikra!
Enhe tuendelee
kelphin kepph
Atatoa namba kwa wangapi[emoji23][emoji23][emoji23] oneni uyu..awa ndo wale ambao wakiombwa No.wana ringa afu mna kuja kusumbua mtandaoni
[emoji2215][emoji2215]ngja nije kwanza[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bikra?Uwongo wakwanza
Kwahyo wewe bikra!
Enhe tuendelee
kelphin kepph
Namba sitoi . Nikirudhika nawewe nakupa namba ya Baba yangu uongee nae kama uko seruous na sitawasiliana nawe sehemu faragha isipikuwa nyumbani na lazima tuwe na kaka yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika umefikisha miaka 20?.
Kwanini kaka yako awepo kama wewe una miaka 18+?.
Ina maana kabla hamjafunga 'ndoa' auhitaji kupata muda wa kumjua mume wako mtarajiwa?. Au kaka yako ndio atakusaidia kumjua ndio maana inabidi awepo.?
Eti uongee na baba!! Kwani baba ndiye mwolewaji?!!!Namba sitoi . Nikirudhika nawewe nakupa namba ya Baba yangu uongee nae kama uko seruous na sitawasiliana nawe sehemu faragha isipikuwa nyumbani na lazima tuwe na kaka yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Waende hata kwenye date, to know more about each other Eli.[emoji1][emoji1][emoji1] Unataka amjueje Paula? Huyo anatoka familia yenye maadili ya kidini kweli kweli, baba na kaka wawepo..dah!