Kwa maandishi hayo utapata wa kifesibukufesibuku. Kila la kheri!
Dah sijui. Kwanini unaandika hivyo? Hayanihusu lakini nijibu tu
Natak kuoa kwel au nimekoxeaDah sijui. Kwanini unaandika hivyo? Hayanihusu lakini nijibu tu
Naamini unataka kuoa na nina uhakika utapata mchumba leo hii kabla jua kuzama. Ni hayo maandishi yananikwaza.
Hapana nivifupisho tu vya maneno tulivyo zoeaNaamini unataka kuoa na nina uhakika utapata mchumba leo hii kabla jua kuzama. Ni hayo maandishi yananikwaza.
Nimekoxea, xaxa...ni shortcut au?
Sasa hapo umefupisha nini?
Sante kwa hiloSasa hapo umefupisha nini?
Nimekoxea = nimekosea
Xaxa= sasa
Hakuna ufupisho hapo.
Haya ndugu yangu. Mi ningekushauri uache kuandika hivyo. Ni ushauri tu si lazima uufate. Thanx and all the best!
Xema tu shoga..hahahahhahhha !xina la kuxema!
Xema tu shoga..
Nimekoxea kweli xhoga yangu. Lugha xa watu hizi ngoja nijifunxe..ila ni ngumu xana jamani napata shida haxwa!hahahaha umekoxea neno xhoga !hahahahaha uwii axante Yesu !khaaa!alafu anakuambia mchumba hahahahha waruwaru hii unaoa?hahhaha
Nimekoxea kweli xhoga yangu. Lugha xa watu hizi ngoja nijifunxe..ila ni ngumu xana jamani napata shida haxwa!
Mwanangu akianza huu mtindo namchapa bakora. Kuna kipindi anajibu message anaandika "k" eti ndio okay, nikamwambia hiyo lugha yako sitaki kuiona machoni mwangu.hahahahahahah mie nachefukwaaaaaaaaaaaa