Kishitokishito
Member
- Sep 16, 2017
- 65
- 27
Hahaa makaburi mengine inabidi yafukuliwe tu hamna namnaMkuu kufukua makaburi hakujawahi kumuacha mtu salama.
Umaskini tu unanifanya hivyo pacha sio uvumilivuUnaweza kuvumilia tukaishi stoo.
Ni mimi bhanaNilikuwa natafuta aliefukua hili kaburi. Kumbe ni wewe?
Pale unapobisha na ukweliKama kweli vile...
Sasa mke mwenza kuna anayekufikia kwa gubu!! Kwa mume unanisumbua kwa kaka yako napo gubu!! Yaani nilipo upo hata sipumui!!Navumilia mkemwenza mwenye gubu kama huyu
Si ndio nimeshangaa eti mvumilivu!!!Huyo usipompa game siku moja tu anahamia kwa jirani
Mataifani Jf haikamati?Atakuwa mataifani.