Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Heaven Sent Khantwe atoto mmefanya tangazo langu limekuwa 'joke' sasa thread imehamishiwa CHIT CHAT, nimewamaindi kinoma! Hivi hawa Moderator Invisible nani amewaambia mimi natania? Nimechoka kuwa single natafuta mchumba nimuoe, sasa huku chit chat kuna wachumba?!!
Khaaaa itakuwa paw kaona comments za king'asti ndo akaona kawivu. Sisi mbona tumekuwa tu serious jamani. Modes sio vizuri jamani
 
Hapana.
Nilitaka kujua jinsia yako na umri wako. Nahisi huu Uzi haujakaa vizuri
Ahaa ukiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe.....ukiangalia vizuri utagundua wewe ndio haujakaa vizuri kwasababu wengi tu wameuelewa.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hahaha wewe nenda bana, una afadhali.
1. Urembo nimecheka hadi nimekaa. Hapo hajasema anataka mtoto petite sijui appetite. Mnyaki mimi heavy weight
2 . Exposure me ninayo ya makete na mwanjelwa lol
3. Brainy na aliyesoma, kwa hii elimu yangu ya shule ya hapa na pale au? Ukute anakagua na G.D.A sijui G.P.A , kisa cha mtu mzima kama mimi kukatwa kwa aibu ni nini? Nimemuacha na uchoyo wake [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]


Umenchekesha wewe!, eti GDA...lol!
Si mara mia hizo vigezo vingine.

Tatizo ni kwamba wadada wengi wa mujini wenye 'exposure' wanahusishwa na maisha ya drama mwanzo mwisho!
Mpaka unashindwa kuelewa coz exposure inatakuwa imkomboe mtu especially kifikra, lakini joto city wadada wengi wa hivo ni shiider!
 
Umenchekesha wewe!, eti GDA...lol!
Si mara mia hizo vigezo vingine.

Tatizo ni kwamba wadada wengi wa mujini wenye 'exposure' wana maisha ya drama mwanzo mwisho!
Mpaka unashindwa kuelewa coz exposure inatakuwa imkomboe mtu especially kifikra, lakini joto city wadada wengi wa hivo ni shiider!
Eeh umeona eeh, sijui kuna uhusiano gani kati yao na drama drama. Ila wengine wana exposure +brain, hadi raha
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom