Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Khaaaa itakuwa paw kaona comments za king'asti ndo akaona kawivu. Sisi mbona tumekuwa tu serious jamani. Modes sio vizuri jamaniHeaven Sent Khantwe atoto mmefanya tangazo langu limekuwa 'joke' sasa thread imehamishiwa CHIT CHAT, nimewamaindi kinoma! Hivi hawa Moderator Invisible nani amewaambia mimi natania? Nimechoka kuwa single natafuta mchumba nimuoe, sasa huku chit chat kuna wachumba?!!
Natafuta mchumba baadae awe mke wangu.
Awe na sifa zifuatazo;
1.Mzuri kama Heaven on Earth
2.Tabia nzuri kama Heaven Sent
3.Awe na exposure kama kui
4.Awe amesoma na awe na akili kama Karucee
Mwenye sifa hizi zote ani PM nimpe wasifu wangu.
Hapana.Mkuu unanitafutia BAN?
duh hujapata tu hadi leo...basi unamkono wa birikaHeaven Sent Khantwe atoto mmefanya tangazo langu limekuwa 'joke' sasa thread imehamishiwa CHIT CHAT, nimewamaindi kinoma! Hivi hawa Moderator Invisible nani amewaambia mimi natania? Nimechoka kuwa single natafuta mchumba nimuoe, sasa huku chit chat kuna wachumba?!!
Rafiki subiri kwanza kidogo dada yako aondoke zake!Rafiki yangu nifundishe mapema kabla huyu x wangu hajapata mchumba.
Hahaha wewe nenda bana, una afadhali.
1. Urembo nimecheka hadi nimekaa. Hapo hajasema anataka mtoto petite sijui appetite. Mnyaki mimi heavy weight
2 . Exposure me ninayo ya makete na mwanjelwa lol
3. Brainy na aliyesoma, kwa hii elimu yangu ya shule ya hapa na pale au? Ukute anakagua na G.D.A sijui G.P.A , kisa cha mtu mzima kama mimi kukatwa kwa aibu ni nini? Nimemuacha na uchoyo wake [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Heaven Sent Khantwe atoto mmefanya tangazo langu limekuwa 'joke' sasa thread imehamishiwa CHIT CHAT, nimewamaindi kinoma! Hivi hawa Moderator Invisible nani amewaambia mimi natania? Nimechoka kuwa single natafuta mchumba nimuoe, sasa huku chit chat kuna wachumba?!!
Eeh umeona eeh, sijui kuna uhusiano gani kati yao na drama drama. Ila wengine wana exposure +brain, hadi rahaUmenchekesha wewe!, eti GDA...lol!
Si mara mia hizo vigezo vingine.
Tatizo ni kwamba wadada wengi wa mujini wenye 'exposure' wana maisha ya drama mwanzo mwisho!
Mpaka unashindwa kuelewa coz exposure inatakuwa imkomboe mtu especially kifikra, lakini joto city wadada wengi wa hivo ni shiider!
nafasi hiyooo munaichezea.. mkikosa wa kuwawowa mnalialia
Hahahaaa! We mie ni photocopy ya binti yangu sema tu sina eksipozaNaona #TeamPasuaKichwa mmevamia mnuso.........
Huyo shetani soon tawafungisha ndoa ya mkeka haki vile.Usinichape dada yangu . Ha Ha Ha ni shetani tuu