buthabutha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 659
- 396
Umri umeenda sana huo ningekuja tatzo vigezo vimenizidia mwaka mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema!! Hao ndio wenyewe sasa.Duh... Unataka wenye miaka 38?? +
Hao washaishiwa nguvu
duh mbona unataka mwenye umri mkubwa hivyo ili umpelekeshe amaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNatafuta mchumba .nna umri WA Miaka 28.nafanya kazi Nna mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Naitaji mume Ambae alie seriously Na Maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri Kuanzia Miaka 38/45 Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious
Nguvu gani warioishiwa toa ushuhuda Na uritembea Na wangapi wenye 38Duh... Unataka wenye miaka 38?? +
Hao washaishiwa nguvu
Andika vizuriNguvu gani warioishiwa toa ushuhuda Na uritembea Na wangapi wenye 38
he ? wewe ni bikira au ? (nimeongezea tu)Unasema Dini yoyote he wewe ni Dini gani ,unafanya kazi gani na upon wapi?
Unataka Mume mcha Mungu he wewe mwenyewe ni mcha Mungu kwenye hiyo Dini yako?
Unasema una mtoto mmoja,huyo baba wa mtoto yupo wapi?He alikuoa ndoa ya halali kwa mujibu wa Dini yako au kiserikali?
Kiwango chako cha Elimu na taalumu uliyosomea?
Ni mzaliwa wa wapi na kabila gani?
Sababu za kuhitaji mume mwenye umri wa 35+ ni zipi?
HahahahaMiaka 38 ambayo hajaoa ujue huyo ni jipu
Mimi bado kidogo kufikia hicho kigezo cha umri lkn hiyo hainizuii kuja kwakoNatafuta mchumba .nna umri WA Miaka 28.nafanya kazi Nna mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Naitaji mume Ambae alie seriously Na Maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri Kuanzia Miaka 38/45 Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious
Unajipendelea tupo wengi over 40All the best. Mtoa uzi ungeweka kuanzia miaka 28 na kuendelea.
Huyo mwenye 38 wapo wachache.
Hongera yako. Umeoa? Tuanzie hapo kwanza?Unajipendelea tupo wengi over 40
Aisee ulikuwa unapima upepo?, mbona sikuoni tena??*Nimetimiza vgezo * call 0765 456685,, or call for sms ,, kwa Hili sina mzaha kabisa "karibu my
Pia anaweza kufanya mipango afiwe [emoji23][emoji23]. Just jokingHiyo miaka na hana mke au inatafuta aliyefiwa na mke wake...?
Si umfuate pm kama kama uko serious?Aisee ulikuwa unapima upepo?, mbona sikuoni tena??*