Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Natafuta mchumba .nna umri WA Miaka 28.nafanya kazi Nna mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Naitaji mume Ambae alie seriously Na Maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri Kuanzia Miaka 38/45 Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious
duh mbona unataka mwenye umri mkubwa hivyo ili umpelekeshe amaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Unasema Dini yoyote he wewe ni Dini gani ,unafanya kazi gani na upon wapi?

Unataka Mume mcha Mungu he wewe mwenyewe ni mcha Mungu kwenye hiyo Dini yako?

Unasema una mtoto mmoja,huyo baba wa mtoto yupo wapi?He alikuoa ndoa ya halali kwa mujibu wa Dini yako au kiserikali?

Kiwango chako cha Elimu na taalumu uliyosomea?

Ni mzaliwa wa wapi na kabila gani?

Sababu za kuhitaji mume mwenye umri wa 35+ ni zipi?
he ? wewe ni bikira au ? (nimeongezea tu)
 
Ukipata nishilikishe kwenye uchaguzi wa rangi ya shughuli....a. K . a chereko
 
Natafuta mchumba .nna umri WA Miaka 28.nafanya kazi Nna mtoto mmoja. Ni mfupi maji ya kunde. Naitaji mume Ambae alie seriously Na Maisha mwenye upendo mcha Mungu dini yoyote ila awe na umri Kuanzia Miaka 38/45 Niko seriously na alie sirously anifate pm Pls no jokes I'm serious
Mimi bado kidogo kufikia hicho kigezo cha umri lkn hiyo hainizuii kuja kwako
 
Unajipendelea tupo wengi over 40
Hongera yako. Umeoa? Tuanzie hapo kwanza?
Km umefikisha 40 nz hauna mke ww utakuwa kilema na ukizaa watoto watakuwa wajukuu. Mtoto wako akifikisha 20 ww upo 60. Babu kbsa.
Pole sana mkuu
 
Wenye miaka 38-45 Haya ni Ma Buzi wanaita......hapo utapata mchumba w mtu mume wa mtu unajua sisi wanaume tupo wachache hivyo uwezi kupata wa kwako pekeako, yaani ukimpata wa umri huo ujue wewe utakuwa wa kumi kuendelea, pia Usiwe na Wivu hata ukitakiwa kuwa nyumba ndogo we kubali tuu
 
Khaaaa Mme JF??? Jmn mbn unatafta tatzo dadangu?? Iv umu kuna waume kweli??? Hahahaaaaa any way kila rakheli
 
Back
Top Bottom