luginyo
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,385
- 637
Habari tena wana jf,
Narudi kwa Mara nyingine Mimi ni kijana wa miaka 27 nimeajiriwa serikalini mweups,mrefu, mkristo
Naitaji mchumba awe mrefu portable sio mnene sana mcha Mungu ,mkristo
Aliye na shughuli ya kumuingizia kipato
Na aliye tayari kucheki "ngwengwe"
Sent using Jamii Forums mobile app
Narudi kwa Mara nyingine Mimi ni kijana wa miaka 27 nimeajiriwa serikalini mweups,mrefu, mkristo
Naitaji mchumba awe mrefu portable sio mnene sana mcha Mungu ,mkristo
Aliye na shughuli ya kumuingizia kipato
Na aliye tayari kucheki "ngwengwe"
Sent using Jamii Forums mobile app