Chirozo
Senior Member
- Dec 20, 2017
- 145
- 227
Habari zenu ndugu wa jamii forum.
Matumaini yangu ni wazima wa Afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kujenga taifa ingawa Vyuma Vimekaza.
Twende moja kwa moja kwenye Maada husika.
Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke wangu.
VIGEZO VYAKE.
1.Awe mcha Mungu na hofu ya uwepo wa Allah (S.W)
2.Awe na umri kuanzia 18 mpaka 28.
3. Awe Muslim kwa vitendo, Sio kwa jina tu.
4.Awe na Elimu angalau Secondary level tu.
5. Awe mzuri wa sura na tabia(mwanamke ni pambo la nyumbani kwahiyo uzuri ni moja ya kigezo ninvyozingati mno)
6.Awe mcheshi Sio kila wakati ananunanuna tu.
7.Awe Mrefu wastani, Awe Natural , sitaki mwanamke Artificial.
VIGEZO VYANGU.
1.Nina Elimu ya College tu.
2.Nimeajiriwa private Sector
3.Umri wangu miaka 30
4.Nilishawai kuoa na nikabaatika kupata mtoto mmoja wa kike.
Ila tuliachana miaka 3 iliyopita.
4.Ni mrefu wastani, Sio mweupe ila nipo maji ya kunde.
6.Nina hofu ya mwenyezi mungu, kwahiyo nafanya ibada kwa kadri niwezavyo.
Kwa yoyote alikuwepo Serious kwenye hili anitafute PM kwa maswali zaidi au kwa chochote kuhusu mada husika hapo juu.
Karibu wote (Mabinti tu)
Ahsanteni sana.!
Matumaini yangu ni wazima wa Afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kujenga taifa ingawa Vyuma Vimekaza.
Twende moja kwa moja kwenye Maada husika.
Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke wangu.
VIGEZO VYAKE.
1.Awe mcha Mungu na hofu ya uwepo wa Allah (S.W)
2.Awe na umri kuanzia 18 mpaka 28.
3. Awe Muslim kwa vitendo, Sio kwa jina tu.
4.Awe na Elimu angalau Secondary level tu.
5. Awe mzuri wa sura na tabia(mwanamke ni pambo la nyumbani kwahiyo uzuri ni moja ya kigezo ninvyozingati mno)
6.Awe mcheshi Sio kila wakati ananunanuna tu.
7.Awe Mrefu wastani, Awe Natural , sitaki mwanamke Artificial.
VIGEZO VYANGU.
1.Nina Elimu ya College tu.
2.Nimeajiriwa private Sector
3.Umri wangu miaka 30
4.Nilishawai kuoa na nikabaatika kupata mtoto mmoja wa kike.
Ila tuliachana miaka 3 iliyopita.
4.Ni mrefu wastani, Sio mweupe ila nipo maji ya kunde.
6.Nina hofu ya mwenyezi mungu, kwahiyo nafanya ibada kwa kadri niwezavyo.
Kwa yoyote alikuwepo Serious kwenye hili anitafute PM kwa maswali zaidi au kwa chochote kuhusu mada husika hapo juu.
Karibu wote (Mabinti tu)
Ahsanteni sana.!