mzee wa ndondo
New Member
- Feb 13, 2018
- 4
- 5
Umri kuanzia miaka 25 mpaka mingapi?Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu.
Vigezo
-awe Tanzania
-mkristo
-umri kuanzia miaka 25
-awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo mtu wa masihara. Kwa maelezo zaidi njoo pm. Naomba kuwasilisha.
Samahani nilisahau kuweka mwisho ni miaka 28Umri kuanzia miaka 25 mpaka mingapi?
Usihofu mkuu nitakutaarifukila la kheri Mkuu,wakija wengi nitupie mmoja