mzee wa ndondo
New Member
- Feb 13, 2018
- 4
- 5
Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu.
Vigezo
-awe Tanzania
-mkristo
-umri kuanzia miaka 25
-awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo mtu wa masihara. Kwa maelezo zaidi njoo pm. Naomba kuwasilisha.
Vigezo
-awe Tanzania
-mkristo
-umri kuanzia miaka 25
-awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo mtu wa masihara. Kwa maelezo zaidi njoo pm. Naomba kuwasilisha.