Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

mzee wa ndondo

New Member
Joined
Feb 13, 2018
Posts
4
Reaction score
5
Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu.
Vigezo
-awe Tanzania
-mkristo
-umri kuanzia miaka 25
-awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo mtu wa masihara. Kwa maelezo zaidi njoo pm. Naomba kuwasilisha.
 
Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu.
Vigezo
-awe Tanzania
-mkristo
-umri kuanzia miaka 25
-awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo mtu wa masihara. Kwa maelezo zaidi njoo pm. Naomba kuwasilisha.
Umri kuanzia miaka 25 mpaka mingapi?
 
Ebu potia thread za mda ulopita walikuweko wadada kibao wakitafuta wenza VP haujawasiliana nao
 
Back
Top Bottom