Hello!
Naitwa Mary ni binti wa miaka 28 na ni mkristo, nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya laboratory science and technology lakini bado sijapata ajira.
Nilidumu kwenye mahusiano na mwanaume zaidi ya miaka 6 lakini tuliachana mwaka jana kwasababu binafsi kidogo.
Natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 29 na kuendelea
Awe na elimu yake nzuri
Dini yoyote ile
Awe mrefu
Kama ana mtoto alishapata tutalea
Awe mcha Mungu
Kama upo tayari au unamjua mtu ambaye yupo tayar naomba tuwasiliane
@sha90ha94@gmail.com
Asanteni
Naitwa Mary ni binti wa miaka 28 na ni mkristo, nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya laboratory science and technology lakini bado sijapata ajira.
Nilidumu kwenye mahusiano na mwanaume zaidi ya miaka 6 lakini tuliachana mwaka jana kwasababu binafsi kidogo.
Natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 29 na kuendelea
Awe na elimu yake nzuri
Dini yoyote ile
Awe mrefu
Kama ana mtoto alishapata tutalea
Awe mcha Mungu
Kama upo tayari au unamjua mtu ambaye yupo tayar naomba tuwasiliane
@sha90ha94@gmail.com
Asanteni