Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Rangi yoyote unapenda halafu umekataa anayejichubua sasa si umeshafanya ubaguzi?
 
Labda ungekuwa specific kipi kimekufanya utafute huku
Ina maana kabisa kwenye mazingira yako umekosa???
Listen ndoa siyo kitu simple
Ndoa n kifungo cha Nafsi

Jumamosi njema
Unachokijuwa mm nilishakitambua toka kitambo kaka....na kwa taarifa yako huku ndo kwa kupata mke kukiko huko kutafuta mitaan kama unavyofanya wewe....huku ndo kwenye ndoa kaka...ni mtu mwenyewe anajitoa kuwa na kwake kwa mashat tajwa...lakn pia kila mtu na utaratbu wake kaka.....katba ya mwanadamu iko akilini mwake daima...hvyo basi ni vyema ukanitia nguvu kuliko kuanza kunilaumu na kunikosoa....pia ni vyema zaid kama ungenifata pm ukanishaur ningekujuwa wa maana san kuliko kuni....kwenye uwanja huu.....aaaah acha zako bana
 
Unachokijuwa mm nilishakitambua toka kitambo kaka....na kwa taarifa yako huku ndo kwa kupata mke kukiko huko kutafuta mitaan kama unavyofanya wewe....huku ndo kwenye ndoa kaka...ni mtu mwenyewe anajitoa kuwa na kwake kwa mashat tajwa...lakn pia kila mtu na utaratbu wake kaka.....katba ya mwanadamu iko akilini mwake daima...hvyo basi ni vyema ukanitia nguvu kuliko kuanza kunilaumu na kunikosoa....pia ni vyema zaid kama ungenifata pm ukanishaur ningekujuwa wa maana san kuliko kuni....kwenye uwanja huu.....aaaah acha zako bana
Kila la kheri
 
Wadada jamani mko wapi ebu njooen tuyajenge....kuna waengne wanazani mm natafuta mtu wa kutumia kwa muda lahasha....uki PM uwe na uhakika kuwa uko tayar kuwa na mtu..
...ctak kupotezeana muda jmn
 
Back
Top Bottom