lamalu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 612
- 775
Mi muislam,umri now Ni 40,natafuta MCHUMBA alie TAYARI aje pm! Mabingwa wa kukosoa hasa wanaume mnaweza kupita tu kimya kimya maana Kuna wakatisha tamaa humu kujifanya mnajua kiiiila kitu,nahitaji mke,mwanamke sio shoga,mwanaume uki comment hapa najua sio ridhik! Karibu wadada mlio na uhitaji wa kweli