Natafuta mchumba

Huwa napenda mwanamke muwazi sana, type ya kina gigy mony, gigy anapigwa deepstic atakuja kukwambia nimekwichkwich
 
Hahaha mjuvi wa mapishi na kufua, kila la kheri
 
Kijiji gani mkuu?
Mkuranga dsm usukumani, mtwara, kigoma sehemu hizo bado wapo wengi wazima na jamaa zangu wengi wamepata watoto bado wazima na wanaheshma.humu mitandaoni wengi ujanja mwingi mbele kiza. Ndo mana wanatumika mpaka kina chakaa afu lastly wanataka wa kuwaoa
 
Kwani ukiwa humu maana yake hujiheshimu?
 
Eti eeh!
 
Mwanaume nipoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…