manumbu1
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 713
- 403
Huyu ni muhenga na bado anachagua?
30 years cash
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
30 years cash
Hata hivo we mwanamke sikujui ila nakupenda balaaAhhahaha kiaje hebu usinizibie ridhiki nitakuchapaaa
Hata hivo we mwanamke sikujui ila nakupenda balaa
Kijiji gani mkuu?Humu hupati kamwe mkuuu, wamejaa maslay queen tu wasanii watu wa maigizo.wahi vijijini wamejaa huko unapata wenye sifa plus bikra juu
Mkuranga dsm usukumani, mtwara, kigoma sehemu hizo bado wapo wengi wazima na jamaa zangu wengi wamepata watoto bado wazima na wanaheshma.humu mitandaoni wengi ujanja mwingi mbele kiza. Ndo mana wanatumika mpaka kina chakaa afu lastly wanataka wa kuwaoaKijiji gani mkuu?
Kwani ukiwa humu maana yake hujiheshimu?Mkuranga dsm usukumani, mtwara, kigoma sehemu hizo bado wapo wengi wazima na jamaa zangu wengi wamepata watoto bado wazima na wanaheshma.humu mitandaoni wengi ujanja mwingi mbele kiza. Ndo mana wanatumika mpaka kina chakaa afu lastly wanataka wa kuwaoa
Wachache sanaaaaaaaaKwani ukiwa humu maana yake hujiheshimu?
Mkuranga dsm usukumani, mtwara, kigoma sehemu hizo bado wapo wengi wazima na jamaa zangu wengi wamepata watoto bado wazima na wanaheshma.humu mitandaoni wengi ujanja mwingi mbele kiza. Ndo mana wanatumika mpaka kina chakaa afu lastly wanataka wa kuwaoa
Dermis wewe konki utamtesa kijana wa watu
Huyu mbona ananyooka tuu labda kifo ndo kitamwokoa au akimbilie kusikojulikana lakini nikiishi nae mwezi tuu atabadilika
Mwanaume nipooooNatafuta mchumba lakini awe na vigezo vifuatavyo;
1. Awe na umri kuanzia miaka 20- 25 tu.
2. Awe anajua kusoma vizuri na kuandika.
3. Awe anajua kupika vizuri na kufua vizuri.
4. Awe msafi kuanzia yeye mwenyewe na mazingira yote ya nyumbani.
5. Awe mkarimu, mwaminifu na asiwe na tabia za uchoyo maana kwangu mimi wageni hawakatiki hasa siku za mwisho wa wiki.
6. Asiwe na mtoto.
Mengine yote nitamvumilia ila 1- 6 hivi vigezo vizingatiwe.
Kwa mawasiliano zaidi naomba tuwasiliane kwenye e-mail yangu ya
mjukuuwakaswaga@gmail.com
Mwanaume nipoooo