si bure utakuwa na undugu na maguUshampata,
Tafadhali futa huu Uzi ili watu wasije wakajaa wakat tayar nimewahi!
********Thread closed*******
Dah hahaha yaan askar wangu ulivyolalamika kama nakuona mzee hahah sio fair kabisa huu ni uminyaji wa demokrasiaHuo ni udikteta muhusika kaweka tangazo ili achague kidemokrasia wewe unataka kufunga mjadala sio fair