Natafuta mchumba

Njoo nikipe kazi ila sitaki mahusiano
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume tumeshindwa kufanya kazi, badala yake tunatumia ID fake na avatar za matamanio ili kujipatia pesa za dhurumati kwa kisingizio cha kurushiwa nauri..kwa kweli serikali imembunu mbunu[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada kashindwa tu kusema kuwa kachoka maisha ya kukaa Kwa ndugu,sasa anatafuta njia yakujitegemea kupitia papuchi yake.Akipata kazi ndio atachagua sasa aishi nanani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ