hahahahhHuo ni udikteta muhusika kaweka tangazo ili achague kidemokrasia wewe unataka kufunga mjadala sio fair
Habari zenu Wana JF.
Mimi ni binti wa miaka 23 naishi Dar es salaam kwa ndugu zangu. Ni mhitimu wa chuo ila bado sijafanikiwa kupata ajira.
Natafuta mwanaume mwaminifu na mwenye upendo wa kweli ambaye anaweza kuwa mchumba wangu na hatimaye Mungu akijalia kuwa mume.
Karibu PM kwa mawasiliano zaidi na kufahamiana.
Tukisema tunatafuta kazi ata ushauri hamtupi, ngoja tuseme tunataka bwanaDinna 96 ilitakiwa kabla hujaleta proposal yako unitafute privately nikufanyie dua
Hivi macho yangu yameona vibaya ama,babe wangu anaita watu PM [emoji849][emoji849]Kichwa Kichafu nakuachaa
Me nilishakusamehe. Turudiane.Hivi macho yangu yameona vibaya ama,babe wangu anaita watu PM [emoji849][emoji849]Kichwa Kichafu nakuachaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Turudiane tu kwakweli[emoji3], x-babe kichwa usinijueeMe nilishakusamehe. Turudiane.
[emoji3][emoji3] umeanza majungu sasa,ntakuacha na wewe mwenyewe ujue[emoji3],kipendacho roho acha tuume nashangaa ulimfatia nini, kamtu kenyewe kafupi[emoji3][emoji3].
Hapo ndo nimeamini kuwa wabongo udikteta upo kwenye damu.๐๐๐Huo ni udikteta muhusika kaweka tangazo ili achague kidemokrasia wewe unataka kufunga mjadala sio fair
Hivi kaka umeshafikisha wangapi maana we noma !Dinna 96, ]Ushampata,
Tafadhali futa huu Uzi ili watu wasije wakajaa wakat tayar nimewahi!
********Thread closed*******
Me nilishakusamehe. Turudiane.
Hivi macho yangu yameona vibaya ama,babe wangu anaita watu PM [emoji849][emoji849]Kichwa Kichafu nakuachaa
Sent using Jamii Forums mobile app