Natafuta Mchumba

KWASAUTI KUBWA

WAKUU PM NI WAP? JAMANIII HUYU DADA CTAKI ANIPITE
 
Huyu mzinguaji pm zake hata hajibu, anajaribu watu humu akati wengine tupo more than serious
 
Apo unatafuta wanaume wawili tofauti yan mwaminifu na mwenye upendo juu yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hv nyiny wanawake mpoje mume umtake ww pm tukufuate sie ww ndio uje pm km ukiona shida ingia mtaan ukikutana na msela muite kisha mtongoze
 
Mimi huyu nifanye uchumba na msichana wa Dar!
 
Ogopa matapeli Nyumba hii haiuzwi
 
Ulishapa?? kama bado njoo pm.
 
Tulia wewe mzee usifukuze ndege[emoji23][emoji23][emoji23]

Madomo zege acha nasi tupate nafasi.
 
Zama pm kwangu fasta. Kwani ule Uzi wang wa kutafuta MCHEPUKO hujauona? Basi njoo ue Mchepuko wangu rasmi na wa kudum na ntakuhudumja kwa kila kitu. It is like utakua MKE WA PILI. Nategemea utakuja pm
Tatizo sipo mikoa ulotajaaa mweee
 
Em nitafute ....pengine tunaweza kufanya kitu
 
Huu ushauri nilimpaga mdogo wangu akaupuuza akaolewa kabla hajapata kazi hivi ninavyoandika hapa ndoa ina mwaka ila dogo kashachoka vipigo na manyanyaso yupo hom.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…